Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

KATIBU MKUU IKULU MPYA ALPHAYO KIDATA AANZA KAZI RASMI

$
0
0


 Katibu Mkuu Ikulu mpya Mhe Alphayo Kidata akisaini katika kitabu cha wageni baada ya kuwasili ofisini kwake
 kuanza kazi rasmi leo. Pamoja naye ni Katibu Mkuu Ikulu Mstaafu Mhe Peter Ilomo ambaye alimkabidhi rasmi ofisi 
katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam 

PICHA NA IKULU
Katibu Mkuu Ikulu mpya Mhe Alphayo Kidata akilakiwa na Katibu Mkuu Ikulu Mstaafu Mhe Peter

Ilomo alipofika kukabidhiwa ofisi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam  


 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles