Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Article 0

$
0
0
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Simu: +255-22-2112035/40
Nukushi: +255-2122617/2120486
Baruapepe:ps@moha.go.tz
9 Barabaraya Ohio
S.L.P. 9223
11483 DAR ES SALAAM
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
RaiswaJamhuriyaMuunganowaTanzaniaMh.Dr.JohnPombeJosephMagufuli
amewapandishaCheoMaafisasitawaUhamiajikuwaMakamishnawaUhamiaji
kuanziatarehe28mweziFebruarimwaka2017,Wakatihuohuoamewateuakushika
nyadhifa mbalimbali katika Jeshi la Uhamiaji.
WalioteuliwakushikanyadhifahizoniMrakibuwaUhamiaji(SI)EdwardPeterChogero
kuwaKamishnawaDivisheniyaFedhanaUtawala,MrakibuMwandamizi waUhamiaji
(SSI)SamwelRhobbyMagweigakuwaKamishnawaDivisheniyaUdhibitinaUongozi
waMipaka,MrakibuMwandamizi(SSI)waUhamiajiGeraldJohnKihingakuwa
KamishnawaDivisheniyaPasipotinaUraia,MrakibuMwandamiziwaUhamiaji(SSI)
MusangaMbusuroEtimbakuwaKamishnawaDivisheniyaHatizaUkaazinaPasi,
MrakibuMwandamiziwaUhamiaji(SSI)Hannerole Morgan ManyangakuwaKamishna
wa Divisheni ya Sheria.
AidhaMh.RaisamemteuapiaNaibuKamishnawaUhamiajiMouriceDavidKitinusa
kuwaKamishnaChuochaUhamiajichaKikanda(TRITA).Uteuzihuounaanziatarehe
28 mwezi Februari mwaka 2017.
Imetolewa na
Meja Jenerali Projest Rwegasira
Katibu Mkuu
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
26 Machi 201

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles