Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Article 5

$
0
0
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakishiriki Ibada ya Krismas katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015

 Rais Dkt. John Pombe Magufuli, akipena mikono na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Kanisa Katoliki, Muadhama Polycarp Kadinali Pengo, mara baada ya kutoa salam za Krismas
 Rais akiwasili kanisani mapema leo asubuhi
 Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa (wakwanza kushoto),wakishiriki Ibada ya Krismas katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015



 Kadinali Pengo akitoa hotuba
 Rais akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristo mara baada ya ibada hiyo
  Rais akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristo mara baada ya ibada hiyo
  Rais akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristo mara baada ya ibada hiyo




Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles