Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Browsing all 1239 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPENI YA BINTI WA KITAA YAFIKA WILAYA YA TEMEKE JIJI

 Afisa Mtendaji wa Wilaya ya Tandika Hija Kipeleka akizindua Rasmi kampeni ya Binti wa kitaa katika Wilaya ya Temeke, ambapo aliwashukuru wanaoendesha kampeni hiyo na kuahidi kushirikiana nao katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ziara ya Mama Shein Kisiwani Pemba Kuzungumza na Wa

 MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Wanawake wa UWT Wilaya ya Micheweni kutowa shukraza kwa kuwapigia kura Wagombea wa CCM katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 5

SAMWEL SITTA, "MZEE WA SPEED NA VIWANGO"  AFARIKI DUNIA AKIWA KWENYE MATIBABU UJERUMANI Spika wa bunge mstaafu, Samwel Sitta, au kama alivyojiita "Mzee wa Speed na Viwango" amefariki dunia usiku wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYOJIRI BUNGENI DODOMA.LE0

  Baadhi ya mawaziri na wabunge wakiwasili katika viwanja vya bunge kuhudhulia mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.  Baadhi ya mawaziri na wabunge wakiwasili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI 152 WAFUKUZWA KAZI.

Na Jacquiline Mrisho – Dodoma.Jumla ya askari 152 wamefukuzwa kazi mwaka huu na Jeshi la Polisi kwa sababu ya kukiuka Sheria, Taratibu na Kanuni ya Jeshi hilo kama zilivyoainishwa katika Kanuni za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

BENKI YA TWIGA YATOKA KIFUNGONI ITAANZA KUTOA HUDUMA ZAKE KESHO Gavana wa Benki Kuu. Profesa Beno Ndulu.Na Dotto MwaibaleBENKI ya Twiga Bancorp Ltd (Twiga)ambayo ilikuwa imefungwa kwa muda na Benki Kuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUGUMZA NA WAUMINI WA DINI YA KIKRISTO

 MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Viongozi wa Dini wakati akiwasili katika ukumbi wa Chuo cha Amali Vitongoji Pemba, kuzungumza na Waumini wa Dini na kuzindua Albam la...

View Article

BODI YA PAMBA KUHAMIA MWANZA

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO, DodomaWizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi imejipanga kuhamishia Bodi ya Pamba katika Mkoa wa Mwanza kabla ya Novemba 10 mwaka huu ili kuhakikisha wakulima wa pamba waliopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO, MHANDISI FELCHESMI MRAMBA, ARIDHISHWA

MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Felchesmi Mramba, (mbele kulia), akikagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa gesi wa Kinyerezi II jijini Dar es SalaamNA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU TAWALA MKOA WA DAR ES SALAAM, AFUNGUA MAFUNZO YA AWAMU YA

Katibu Tawala wa Mko wa Dar es Salaam, Theresia Mbando, akizungumza wakati akifungua rasmi Mafunzo ya Kampeni ya awamu ya tatu ya 'TUNAWEZA' lenye lengo la kuondoa aina zote za Ukatili wa kijinsia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 11

DC KASULU AKERWA NA WAFUGAJI WANAOHARIBU MSITU WA KAGERANKANDA Na FK Blog- Kigoma,MKUU wa Wilaya ya Kasulu Kanali Martin Mkisi ameeleza kukerwa na tabia ya wakulima na wafugaji wanaovamia hifadhi ya...

View Article

UNDUGU,URAFIKI,RUSHWA VINAUA NGUMI ZA KULIPWA

Hivi karibuni kumetokea na migongano ya kisheria na fitna ndani ya ngumi za kulipwa na baadhi ya wavamizi  kuitumia nafasi hiyo kuisambaratisha kama sio kuua kabisa tasnia ya ngumi za kulipwa.kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PPF YAANDIKISHA MAMIA YA WAPANDA BODABODA KUWA WANACHAMA WA MFU

 Baadhi ya wapanda boda boda kati ya 250 waliojiunga na Mfuko wa Pnsheni wa PPF kupitia mpango wa "Wote Scheme wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, wakionyesha mfano wa kadi za kujiunga na mpango huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 8

RAIS DKT. ATEMBEKLEA UJENZI WA BARABARA ZA KIPAPO-MGELEMA NA KUYUNI NGOMENIRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Ngomeni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 7

JOSEPH MUNGAI AFARIKI DUNIANA K-VIS MEDIAWAZIRI wa zamani Bw. Joseph Mungai, (pichani), amefariki dunia jioni hii ya Novemba 8, 2016.Hospitali ya taifa Muhimbili, (MNH), imethibitisha kupokea mwili wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 6

MFUMUKO WA BEI WA TAIFA KWA MWEZI OKTOBA 2016, UMEBAKI KUWA ASILIMIA 4.5Meneja wa Takwimu za Ajira na Bei wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Ruth Minja (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 5

DONALD TRUMP ACHAGULIWA KUWA RAIS WA 45 WA MAREKANI, MPINZANI WAKE HILLARY CLINTON AKUBALI MATOKEO AMPONGEZANA K-VIS MEDIA/MASHIRIKA YA HABARIWAMAREKANI wameamua tajiri mkubwa Donald Trump kutoka chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO MKUBWA WATEKETEZA GHOROFA LA KUIFADHIA SPEA ZA VYOMBO VYA MOTO

Ghorofa la rosheni tatu lililokuwa likitumika kuifadhia spea za pikipiki ,baiskeri na bajaji likiungua moto ,moto ambao uliosababishwa na shoti ya umeme iliotokea jana kwenye mida ya jioni maeneo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

TUME YA JUMUIYA YA MADOLA KUZINDUA MAKABURI MAPYA YA ASKARI WA KIHINDI TANGA WALIOKUWA KWENYE VITA YA KWANZA YA DUNIA Wakazi  wa Usagara Tanga, Joseph Kimani, Martin Kiarie na Ali Hamis  wakiangalia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

NAIBU SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA ACKSON KATIKA UBORA WAKE  Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson (kulia), wa timu ya Bunge  akidaka mpira ulioelekezwa golini kwake...

View Article
Browsing all 1239 articles
Browse latest View live