Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Article 3

$
0
0
Watoto wa marehemu wakiweka shada la maua kwenye kaburi la baba yao marehemu Mpoki Bukuku, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kwenye makaburi ya familia huko Msalato, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma Desemba 27, 2016.
 Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, (wapili kushoto), na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, na Mbunge wa Dodoam mjini, Anthony Mavunde, wakwia tayari wameweka shada la mauwa kwenye kaburi la marehemu Mpoki Bukuku kwenyemakaburi ya familia huko Msalato, nje kidogo ua Manispaa ya Dodoma Desemba 27, 2016.
 Wazzi wa marehemu wakiweka shada la maua kwenye kaburila mwanao
Mke wa marehemu akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe
 Waombolezaji wakilishusha kaburini, jeneza lenye mwili wa marehemu Mpoki Bukuku "Sumo", aliyekuwa mpiga picha mwandamizi wa kampuni ya The Guardian Limited, kwenye makaburi ya familia huko Msalato nje kidogoya Manispaa ya mji wa Dodoma leo Desemba 27, 2016.




Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles