Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

WAZIRI WA HABARI UTAMADUNI SANAA NA MICHEZO AZINDUA MAGARI MAPYA YA F12 PLUS KUTOKA KAMPOUNI YA YUTONG

$
0
0

 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akikta utepe kuashiria uzinduzi wa  magari mapya ya F12 kutoka kampuni yas Yutong katika hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza wakati wa uzinduzi wa magari mapya ya F12 kutoka kampuni yas Yutong katika hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam.

Picha na kitengo cha Mawasiliano Serikali WHUSM

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles