makontena 3 yanawaka moto
makontena yawaka moto leo
hivi ndivyo moto uliokuwa unawaka leo
magari ya kuzima moto yakiwa yaliyojaa maji
mmoja ya majeruhi akipelekwa kusaidiwa kupata matibabu ya huduma ya kwanza
wafanyakazi wa wa uzimaji wakiwa kazini
baadhi ya majeruhi waliowaliokuwa katika eneo la moto huo wakiwasubiri huduma ya kwanza
Afisa mawasiliano mkuu wa Bandari Peter Milanzi akiongea na wandishi wa habari waliofika katika eneo hilo kuhusu moto huo ulivyotokea Amesema moto huo ulikuwa umengenezwa kwa maksudi ili kupima uwezo wa vifa na wafanyakazi wa jeshi la kuzima moto wanavyo weza kukabiliana tatizo la ajali ya moto
Amewambiwa wandishi wa habari makontena hayo yaliwekwa matairi na kuyachoma na huku na hii kama nilivyo sema moto huu ni wa kutengenezwa msiwe na hofu ingawa huko mitaani wamesha sikia kama moto mkuwa umeteketeza makontena hili ni zoezi maalum imeandaliwa na MZUKA WA FUNGO BLOG
makontena yawaka moto leo
hivi ndivyo moto uliokuwa unawaka leo
magari ya kuzima moto yakiwa yaliyojaa maji
mmoja ya majeruhi akipelekwa kusaidiwa kupata matibabu ya huduma ya kwanza
wafanyakazi wa wa uzimaji wakiwa kazini
baadhi ya majeruhi waliowaliokuwa katika eneo la moto huo wakiwasubiri huduma ya kwanza
Afisa mawasiliano mkuu wa Bandari Peter Milanzi akiongea na wandishi wa habari waliofika katika eneo hilo kuhusu moto huo ulivyotokea Amesema moto huo ulikuwa umengenezwa kwa maksudi ili kupima uwezo wa vifa na wafanyakazi wa jeshi la kuzima moto wanavyo weza kukabiliana tatizo la ajali ya moto
Amewambiwa wandishi wa habari makontena hayo yaliwekwa matairi na kuyachoma na huku na hii kama nilivyo sema moto huu ni wa kutengenezwa msiwe na hofu ingawa huko mitaani wamesha sikia kama moto mkuwa umeteketeza makontena hili ni zoezi maalum imeandaliwa na MZUKA WA FUNGO BLOG