Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

BREKING NEWZZZZZZZZ

Mbunge wa jimbo la Singida Mashariki (mashariki)Tundu Lissu  amefikishwa mahakamani kituhumiwa  kwa uchochezi hata hivyo ameachiwa huru kwa dhamana  nipashe  wakati huohuo watu watatu wanaodaiwa kuwa na mabango yenye kukashifu Polisi wamekamatwa  kwenye eneo la mahakama ya kisutu ljijini Dar es salaam leo wakati huo huo waziri mkuu  Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa vibali 80 vya uingizaji Sukari nchini  huku tani 63,000 bidhaa hiyo zikisambazwa  nchi nzima  NIPASHE

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles