Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

YANGA YAIPIGWA MAURITIUS YA JOACHIM

$
0
0
timu ya yanga imefanikiwa kuifunga timu ya joachim kwa mabao 2 -0 katik mchezo wa ligi ya mabingwa ya Afrika mchezo wa uliochezwa katika uwanja wa Taifa leo kwa hiyo yanga imeshinda jumla ya mabao 3-0 kutokana na goli ya ugenini iliposhinda mchezo wa awali  kwa ushindi wa leo yanga imeingia raundi ya kwanza na kucheza na timu za swaziland ama Rwanda 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles