Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

BREKING NEWZZZ LEO USIKU SIMBA KUTETEA TAJI LAKE DHIDI YA URA YA UGANDA

$
0
0
Mabingwa watetezi wa kombe la Mapinduzi  Wekundu wa Msimbazi Simba  leo watakuwa na kibarua kinene katika kutetea Ubingwa wake na kulinda hadhi ya kuwa timu hiyo ndio Bingwa wa mashindano hayo mchezo huo utakaowakutanisha wakusanya kodi kutoka nchini Uganda  URA   ambayo katika kundi  A ndio inayongoza kuwa na poiti  3 ikifuatiwa na Wekundu wa msimbazi  wenye poiti 1 kwa kila timu imeshacheza mchezo mmoja

kikosi cha timu ya Uganda URA kitakachoshuka dimbani leo kupambana na Wekundu wa msimbazi SIMBA SPORT
Mabingwa watetezi wa kombe la Mapinduzi Simba  Sport leo kinatetea taji lake kwenye uwanja wa Amani  Zanzibar 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles