Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

SPIKA JOB NDUGAI AONGOZA MAWAZIRI, WABUNGE NA VIONGOZI MBALI MBALI KATIKA MAZISHI YA ALIEKUWA MBUNGE WA SONGEA MJINI MAREHEMU MHE. LEONIDAS GAMA.

$
0
0
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akiongoza Mawaziri, Wabunge pamoja na viongozi mbali mbali wa serikali katika kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini marehemu Mhe. Leonidas Tutubert Gama katika tukio lililofanyika leo katika Mtaa wa Likuyufusi Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma

 Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akimfariji Ndg. Esther Gama mke wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini marehemu Mhe. Leonidas Tutubert Gama wakati wa mazishi yaliyofanyika leo katika Mtaa wa Likuyufusi Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mheshimiwa Christina Mndeme (kulia) baada ya kuwasili katika kiwanja cha ndege cha Ruvuma tayari kuelekea katika mazishi ya aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini marehemu Mhe. Leonidas Tutubert Gama yanayofanyika leo katika Mtaa wa Likuyufusi Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles