Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa mgeni rasmi kesho Uwanja wa Taifa katika mechi ya kuchangisha fedha kwa ajili ya waathirika wa Tetemeko Kagera.

$
0
0











Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo ya Bunge Mhe. William Ngeleja na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Alex Nkenyenge wakiwa katika picha ya pamoja na wabunge, wasanii wa bongo movie na bongo flava, wawakilishi wa Mwananchi Communications Ltd, Jubilee Insurance,Shirika la Taifa la Bima ya Afya na Selcom Tanzania mara baada ya mkutano wa kuhamasisha wananchi kushiriki kuchangia waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera kupitia michezo.

(Picha Zote na Raymond Mushumbusi WHUSM.)



Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles