Timu ya yanga leo imeifunga timu ya TOTO African bao 2-1 ya mwanza katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom mchezo uliochezwa katika uwanja wa ccm kirumba toto ndio ya kwanza kupata bao katika kipindi cha kwanza mpaka mapumziko toto iliongoza kipindi cha pili Hamis Tambwe aliifungia bao la kusawazisha na Juma Abdul akaipatia bao la pili katika piga ni kupige
katika uwanja wa Nyamagana Tanga timu ya African Sport ikicheza pungufu imeizamisha wapinzani wao wa jadi Coast Union kwa bao 1-0 bao lililofungwa katika kipindi cha pili
Timu ya Mwadui imeifunga bao 2-1 Stand united na
Timu ya Prison imetoka sare jkt Ruvu bao 1-1 Mtibwa imeifunga Mbeya city bao 1-0
katika uwanja wa Nyamagana Tanga timu ya African Sport ikicheza pungufu imeizamisha wapinzani wao wa jadi Coast Union kwa bao 1-0 bao lililofungwa katika kipindi cha pili
Timu ya Mwadui imeifunga bao 2-1 Stand united na
Timu ya Prison imetoka sare jkt Ruvu bao 1-1 Mtibwa imeifunga Mbeya city bao 1-0