Quantcast
Channel: MZUKA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

BREKING NEWS SIMBA YACHAPWA NA COAST UNION BAO 2-1 LEO KWENYE UWANJA WA TAIFA

$
0
0
Klabu ya simba sport club imetolewa katika mashindano ya kombe la FA baada yakufungwa bao 2-1 na timu ya Coast Union kutoka Tanga katika mchezo uliochezwa leo kwenye uwanja wa Taifa  kutokana matokeo hayo Simba imetolewa nje

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1239

Trending Articles