MWANAMITINDO WA KIMATAIFA MIRIAM ODEMBA KUWA JAJI MAALUM
Maandalizi ya fainali ya shindano la Miss Universe Tanzania 2015 bado
yanaendelea Mwanamitindo wa Kimataifa Miriam Odemba atakuwa jaji
maalum katika kinyang’anyiro hiki cha kumpata mrembo wa Miss Universe
Tanzania 2015. Majaji wengine watakaoshiriki katika kumtafuta mnyange
wa mwaka huu ni Sheria Ngowi, Maria Sarungi Tsehai, Mariam Ndaba na
Priyal wa sia couture.
Zoezi la usaili limeshakamilika na hatimaye kupata warembo
watakaojiunga na kambi ya Miss Universe kesho siku ya jumatano kabla
ya fainali tarehe 20 mwezi huu.
Warembo waliobahatika kuingia kambini ni 14 tu, majina na mikoa
waliyotoka kwenye mabano Mariam Isack (Dar es salaam), Lilian Luth(Dar
es salaam), Stacey Sulul(Dar es salaam),Willice Donard(Dar es salaam),
Lorraine Marriot(Dar es salaam), Dalena David(Dar es salaam), Mercy
Zephania(Dar es salaam), Dinnah Kaijage(Dar es salaam), Melody
Typhone(Dar es salaam), Joselyn Mirashi(Arusha), Nancy Matta(Mbeya),
Christina Shimba(Iringa), Belinda (Mwanza).
Mwaka huu Miss Universe imefanya usaili katika mikoa sita tofauti
ikiwamo Tanga, Iringa, Mbeya, Arusha, Mwanza na Dar es salaam.
Miss Universe PR Department.
*Compass Communications*
Maandalizi ya fainali ya shindano la Miss Universe Tanzania 2015 bado
yanaendelea Mwanamitindo wa Kimataifa Miriam Odemba atakuwa jaji
maalum katika kinyang’anyiro hiki cha kumpata mrembo wa Miss Universe
Tanzania 2015. Majaji wengine watakaoshiriki katika kumtafuta mnyange
wa mwaka huu ni Sheria Ngowi, Maria Sarungi Tsehai, Mariam Ndaba na
Priyal wa sia couture.
Zoezi la usaili limeshakamilika na hatimaye kupata warembo
watakaojiunga na kambi ya Miss Universe kesho siku ya jumatano kabla
ya fainali tarehe 20 mwezi huu.
Warembo waliobahatika kuingia kambini ni 14 tu, majina na mikoa
waliyotoka kwenye mabano Mariam Isack (Dar es salaam), Lilian Luth(Dar
es salaam), Stacey Sulul(Dar es salaam),Willice Donard(Dar es salaam),
Lorraine Marriot(Dar es salaam), Dalena David(Dar es salaam), Mercy
Zephania(Dar es salaam), Dinnah Kaijage(Dar es salaam), Melody
Typhone(Dar es salaam), Joselyn Mirashi(Arusha), Nancy Matta(Mbeya),
Christina Shimba(Iringa), Belinda (Mwanza).
Mwaka huu Miss Universe imefanya usaili katika mikoa sita tofauti
ikiwamo Tanga, Iringa, Mbeya, Arusha, Mwanza na Dar es salaam.
Miss Universe PR Department.
*Compass Communications*