![]() |
PICHA FILE |
Wakati huohuo Mabingwa wa Zanzibar Timu ya Mafunzo wamefungwa mabao 3- 0 dhidi ya timu ya kongo ya AS Vita mchezo ulichezwa leo
Timu ya Simba leo imeshika usukani wa Ligi kuu ya vodacom baada ya kuifunga stand United Bao 2-1 mchezo uliochezwa leo mabao yote ya Simba yamefungwa Hamis Kiiza simba ina poit 44 na sasa ndio kinara wa ligi kuu ya vodacom