Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Mhe. Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Desemba 31, 2015
Mhe. Balozi Al Najib akimkabidhi Mhe. Dkt. Kolimba salamu za pongezi kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait
Sehemu ya ujumbe kutoka Wizarani wakifuatilia mazungumzo kati ya Mhe. Dkt. Kolimba na Balozi wa Kuwait hapa nchini (hawapo pichani). Kutoka kushoto ni Bw. Batholomeo Jungu, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Bw. Tahir Bakari, Afisa Mambo ya Nje na Bw. Adam Isara, Msaidizi wa Naibu Waziri.
Picha ya pamoja
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Palestina hapa nchini, Mhe. Hazem Shabat. Ofisini kwake jijini Dar es Salaam Desemba, 30, 2015.
Waziri akipozi kwa picha na mgeni wake
Waziri katika mazungumzo na mgeni wake
Balozi Mteule Mhe. Shabat akimkabidhi Mhe. Mahiga zawadi ya picha inayoonesha Kanisa lililopo katika mji wa Jerusalem
Picha ya pamoja
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akimkaribisha ofisini kwake, Balozi wa Qatar Mhe. Abdullah Jassim Almaadadi alipofika Wizarani kwa ajili ya kumpongeza kwa kuteuliwa katika wadhifa wake mpya na pia kumhakikishia ushirikiano kati ya Tanzania na Qatar. Mazungumzo hayo yalifanyika tarehe 30 Desemba, 2015.
Waziri akizungumzana mgeni wake
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Augustine Mahiga (kulia, akimkaribisha ofisinikwake, Balozi wa Kuwait nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib, alipokuja kumtembelea Wizarani na kufanya mazungumzo naye kuhusu namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Kuwait na pia kumpongeza.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Augustine Mahiga (kulia) akizungumza na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib, alipokuja kumtembelea Wizarani na kufanya mazungumzo naye kuhusu namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Kuwait na pia kumpongeza.
Blog Archive
My Blog List
- MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU KUAPISHWA KESHO 1,JANUARI 2016 -*JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA* *KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.* *Kesho Ijumaa 01 Januari, 2016 Makatibu Wakuu na ...2 minutes ago
- MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU KUAPISHWA KESHO 1,JANUARI 2016 -*JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA* *KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.* *Kesho Ijumaa 01 Januari, 2016 Makatibu Wakuu na ...2 minutes ago
- MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU KUAPISHWA KESHO 1,JANUARI 2016 -*JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA* *KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.* *Kesho Ijumaa 01 Januari, 2016 Makatibu Wakuu na ...3 minutes ago
- UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI December 31, 2015. - Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia imeiomba serikali kuendelea kutoa fedha za utafiti na kuziongeza ili kufanikisha ubunifu mbalimbali. https://youtu....7 minutes ago
- Neno la Kuaga Mwaka 2015 na Kuukaribisha Mwaka 2016. Asanteni Wadau - *Yakiwa yamebaki masaa machache kuumaliza mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya 2016 kwanza napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu muumba m...28 minutes ago
- Saa chache kabla ya kufunga mwaka kuna hii taarifa kutoka Jeshi la Polisi.. -Tukiwa tumebakiza masaa machache kabla ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016, Jeshi la Polisi limetoa tahadhari kuelekea mkesha wa mwaka mpya. ...31 minutes ago
- *SHEREHE YA UTIAJI SAINI MIKOPO TADB -*Mkurugenzi wa Mikopo na Biashara wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Robert Pascal (Kulia) akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Ki...3 hours ago
- ��Rais Dr John Magufuli Be. ametengua Uteuzi Wa Naibu Kamishina Wa Mamlaka ya Mapato-TRA Bw Lusekelo Mwaseba - Be Lusekelo Mwaseba17 hours ago
- Mwongozo wa Vyakula na Matunda - Huu ndiyo mwongozo maarufu wa mtaalamu wa vyakula, Dk Timothy Johnson…anasisitiza kutochanganya changanya vyakula ovyo. Kwamba visipoliwa kwa mpangilio hav...6 days ago
- Best Family Cell Phone Plans - The family mobile plans are great options for parents having kids spending minutes, messages and data plan. But it’s also very important to know everything...2 months ago
- Nordic Decoration Home -Nordic also called Scandinavian style originated in countries like Sweden, Denmark, Norway and Finland. In these European countries, as a matter of locatio...4 months ago
- BREAKING NEEEEEWS. HATIMAYE PROF LIPUMBA AACHIA NGAZI RASMI NAFASI YAKE YA UENYEKITI KATIKA CHAMA CHA WANACHI CUF - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Haruna LipumbaHatimae mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF professor Ibrahim Haruna Lipumba ametangaza rasmi kujiu...4 months ago
Popular Posts
- MKURUGENZI Mtendaji Bodia ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Nchini, HELSB, George Nyatega NA K-VIS MEDIA Bodi ya Mikopo ya...
- Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi (HELSB) George Nyatega, akizungumza na waandishi wa habari nofisini kwake jijini Dar e...
- Bofya hapa> http://www.jkt.go.tz/component/content/article/98.html
- Wakazi wa jiji la Darces Salaam, wakitazama majina ya shule walikopangiwa wananfunzi wa darasa la saba waliofaulu mtihani wa taifa 2014...
- Alphonce Mawazo enzi za uhai wake Na K-Vis Media MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo mkoani Geita, Bw. Alphonce ...
- Baba mwenye mtoto, Erick Kamanzi, (Kushoto), akiwa na watoto wake, Kulia ni mtoto wa miaka 2 aliyepigwa na kuteswa na msichana wa kazi huk...
- ZIJUE AJALI MBAYA ZAIDI ZA NDEGE KUWAHI KUTOKEA DUNIANI TAREHE 3/3/1974- Watu 346 walifarii dunia katika ajali ya ndege ya Turkish ...
- BOVYA HAPA>http://denniseudes.blogspot.com/2014/08/majina-ya-waliokosea-ku-apply-heslb.html
- Katika picha hii iliyopigwa Februari 17, 2011, kwenye maeneo ya kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi JWTZ, Gongolamboto nje kidogo ya jiji...
- KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSAVijana wa Kundi la 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, washangilia baada kuzungumza na waa...
khals. Powered by Blogger.